Header Ads Widget

MSOWOYA ALAANI VIKALI TUKIO LA BABA KUUA MTOTO IRINGA

 

Mjumbe wa Kamati ya Siasa Mkoani Iringa, Dkt Tumaini Msowoya amelaani matukio ya kikatili dhidi ya watoto likiwemo la baba kumnyonga mwanae huku akijirekodi video.


Juzi, vyombo vya habari vimetoa taarifa ya baba kutoka eneo la Mlandege Manispaa ya Iringa ambaye alimuua mwanae kwa kumnyonga huku akijirekodi.

mtoto Alvin Mgovano aliyeuwawa na baba yake 

Dkt Msowoya  ambae pia ni mwimbaji wa nyimbo za injili Nchini alikuwa akizungumza na  waumini wa Kanisa Katoliki, Kigango cha Mbigili  Parokia ya Kihesa wakati alipo muwakilisha Mbunge wa Jimbo la Kilolo, Justine Nyamoga kwenye uzinduzi wa Albamu ya Kwaya ya Mt Augustino.


"Ni vizuri kuzungumza na kukemea matukio haya ya ukatili yanayo utia doa mkoa wetu, viongozi wa dini wala msikae kimya kemeeni," amesema na kuongeza;


"Hii ni hatari, wakati Rais Samia Hassan Suluhu anapambana kuboresha miundo mbinu ya elimu, watoto wanafanyiwa ukatili bila hutu

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI