Akifunga mafunzo hayo ya awamu ya pili huku akiwataka wakaguzi hao kuwa na UTII na kwenda kufanya kazi kulingana na viapo vyao.
Mafunzo hayo yaliyofanyika kwa miezi miwili yamefungwa Leo katika viwanja vya Polisi Mkoa wa Pwani ambapo Kamanda Lutumo amewataka Askari hao kufanya kazi kwa mujibu wa viapo vyao.
amefafanua kuwa hategemei kuona Mkaguzi aliyehitimu mafunzo hayo kufanya kazi kinyume na kiapo chake kwenye kuwahudumia wananchi.
0 Comments