Wajumbe wa mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamepitisha marekebisho yaliyofanyika katika Katiba ya chama hicho ikiwemo idadi ya wajumbe wa Halmashauri Kuu (NEC), ambapo sasa zitakuwa Tanzania Bara 20 na Zanzibar 20 badala ya 15 kila upande.
Na Mwandishi Wetu, Singida. MWANASIASA kijana na Mtaalam wa masuala ya udhibiti wa daw…
0 Comments