Header Ads Widget

RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK.HUSSEIN ALI MWINYI AKABIDHIWA RIPOTI YA KUCHAMBUA MAONI YA WASHIRIKI WA MKUTANO WA WADAU WA DEMOKRASIA YA VYAMA VINGI VYA SIASA IKULU LEO 10-10-2022.

 



WAJUMBE wa Kamati Maalum (Kikosi Kazi ) ya Kuchambua maoni ya Washiriki wa Mkutano wa Wadau wa Demokrasia ya Vyama vya Siasa Zanzibar , wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza kabla ya kukabidiwa Ripoti ya Maoni ya Wadau, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 10-10-2022.(Picha na Ikulu)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa Ripoti ya Maoni ya Washiriki wa Mkutano wa Wadau wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa Zanzibar, na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said, hafla hiyo iliyofanyika leo 10-10-2022, katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wajumbe wa Kamati Maalum (Kikosi Kazi) wakati wa kukabidhiwa Ripoti ya Kuchambua Maoni ya Washiriki wa Mkutano wa Wadau wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa Zanzibar, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 10-10-2022.(Picha na Ikulu)



KATIBU wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania Mhe.Jaji  Francis Mutungi na Viongozi wengine wa Serikali wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi. akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhiwa Ripoti ya Kuchambua Maoni ya Washiriki wa Mkutano wa Wadau wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 10-10-2022.(Picha na Ikulu)



WAJUMBE wa Kamati Maalum ya (Kikosi Kazi) Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza wakati wa kukabidhiwa Ripoti ya Kuchambua Maoni ya Washiriki wa Mkutano wa Wadau wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 10-10-2022,na wa kwanza Mwenyekiti wa Kamati Maalum (Kikosi Kazi ) Dkt.Ali Uki na Makamu Mwenyekiti Mhe Balozi Amina Salum Ali.(Picha na Ikulu)



RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Kamati Maalum ya (Kikosi Kazi) ya Kuchambua Maoni ya Washiriki wa Mkutano wa Wadau wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa, baada ya kumalizika kwa hafla ya kukabidhiwa Ripoti ya Maoni ya Washiriki wa Mkutano wa Wadau wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa Zanzibar, iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 10-10-2022.(Picha na Ikulu)  



RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisoma Ripoti ya Kuchambua Maoni ya Washiriki wa Mkutano wa Wadau wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa Zanzibar, baada ya kukabidhiwa leo 10-10-2022, katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)



RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Ripoti ya Kuchambua Maoni ya Washiriki wa Mkutano wa Wadau wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa,  Mwenyekiri wa Kamati Maalum (Kikosi Kazi) Dkt.Ali Uki, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 10-10-2022.(Picha na Ikulu)

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



BBC NEWS