Header Ads Widget

RC SENDIGA AFUNGA LIGI YA SENSA CUP RUKWA

Mkuu wa mkoa wa Rukwa Queen Sendiga akifunga rasmi Ligi ya Sensa Cup mkoa wa Rukwa leo huku akiwahamasisha wananchi wote kuwa tayari  kuhesabiwa 

Mkuu wa mkoa wa Rukwa Queen Sendiga akihamasisha zoezi la Sensa







 Mkuu wa mkoa wa Rukwa Queen Sendiga Leo amefunga Ligi fupi ya Sensa huku akiwataka wanamichezo na wananchi wote kuwa tayari kuhesabiwa.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI