Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali wakati akizindua Mradi wa Maji safi wa Mbalizi, Shongo-Igale katika eneo la Mbalizi Mkoani Mbeya leo tarehe 05 Agosti, 2022. Wengine katika picha ni Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera.
.jpeg)
.jpeg)
.jpeg)
0 Comments