Header Ads Widget

POLISI WATUMIA MABOMU YA MACHOZI MAKABURINI


 JESHI la Polisi Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya, limetumia mabovu ya machozi kuwatawanya wananchi  waliofika kwenye makaburi ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania( KKKT) wakiwa na lengo la kufukua kaburi la kijana aliyezikwa siku kadhaa zilizopita na kisha  kuonekana mtaani.





Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI