Header Ads Widget

MANARA AVUNJA UKIMYA

 


Baada ya Shirikisho la mpira wa miguu TANZANIA (TFF) kupitia kamati ya maadili kutoa Adhabu Kali ya kumfungia kutojihusisha na michezo ya Ndani na  msemaji wa Yanga Haji Manara .

Msemaji huyo ameshindwa KUVUMILIA na kuamua kufunguka haya kupitia ukurasa wake wa Twitter Kwa kuandika maneno haya .

Iwe ni Jambo la Kheri au Shari, neno langu kuu ni kumshukuru Muumba Mbingu na Ardhi Kwa neno moja kubwa na lenye maana pana sana.

AL-HAMDULILLAH 🙏🏻


Thanks football 👏

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI