Header Ads Widget

AJALI MBEYA YAUA 5 MBEYA

wananchi Mbeya wakimtazama ajali ya Lori na Hiace ajali hii haina uhusiano na ajali ya Leo

Watu 5 wamefariki dunia na wengine wanne wakijeruhiwa baada ya lori la mizigo kufeli breki mteremko wa Mbalizi mkoani Mbeya Kwa kuyagonga magari madogo matatu na Bajaji pamoja na watembea Kwa miguu eneo hilo 

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI