Rais Samia ametoa pongezi hizo kupitia ukurasa wake wa Twitter Leo .
"Naipongeza Timu ya Taifa ya Walemavu ya Mpira wa Miguu (Tembo Warriors) kwa kufuzu Kombe la Dunia nchini Uturuki Oktoba, 2022. Nawapongeza viongozi wa Wizara na TFF na nawataka mfanye maandalizi mazuri zaidi kuelekea michuano hiyo ili tuwe na timu bora itakayotutangaza vyema"
0 Comments