Header Ads Widget

PICHA; RAIS SAMIA AFUNGUA KONGAMANO LA KUMBUKIZI YA HISTORIA YA MAALIM SEIF HAMAD

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Samia Suluhu Hassan, akihutubia kwenye ufunguzi wa Kongamano la Kumbukizi ya Maisha ya Maalim Seif Sharif Hamad lililofanyika leo tarehe 05 Novemba, 2021 katika ukumbi wa Golden Tulip, Zanzibar.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Samia Suluhu Hassan, akizungumza jambo na Awena Sinani Masoud aliyekua mke wa Hayati Maalim Seif Sharif Hamad baada ya kufungua Kongamano la Kumbukizi ya Maisha ya Maalim Seif Sharif Hamad 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Rais Mstaafu wa Zanzibar  Amani Abeid Karume walipokutana kwenye ufunguzi wa Kongamano


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Viongozi wa Mkoa wa Dodoma alipowasili katika Uwanja wa ndege wa Dodoma akitokea Zanzibar kwenye ufunguzi wa Kongamano

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akiwasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma akitokea Zanzibar 

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI