Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akiwa katika picha ya pamoja na muanzilishi na muaandaaji wa Jukwaa la Nne Majadiliano ya Kiuchumi la Bloomberg Micheal Bloomberg linalofanyika Nchini Singapore walipokutana muda mfupi kabla ya kuanza kwa Mkutano huo. Novemba 17,2021
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akizungumza na Rais wa Armenia Armen Sarkissian walipokutana kabla ya kuanza kwa Jukwaa la Nne Majadiliano ya Kiuchumi la Bloomberg
Balozi wa Tanzania nchini India Baraka Luvanda akizungumza na Afisa Mtendaji Mkuu na Mbia Mwanzilishi wa Master Card wakati walipokutana muda mfupi kabla ya kuanza kwa mkutano wa Jukwaa la Nne la Majadiliano ya Kiuchumi la Bloomberg
Post a Comment
0
Comments
MAGAZETI
NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI
TV News
World News
UZA NUNUA NASI LEO
Subscribe Us
MATANGAZO
TIBA YA UKANDAJI WA MGONGO, KICHWA KUTOKA NEEMA BEAUTY, SPA SALOON
0 Comments