Header Ads Widget

RAIA WA NCHI 8 MARUFUKU KUINGIA MAREKANI

 


Serikali ya Marekani imetangaza kuzuia kuingia nchini humo wasafiri kutoka nchi nane Kuanzia Nov 29 mwaka huu kutokana na kuibuka Kwa kirusi kipya cha Corona kwenye nchi hizo .

Nchi zilizozuiwa ni Afrika ya kusini ,Botswana ,Zimbabwe,Namibia ,Losotho,Eswatini,Malawi na Msumbiji 


Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI