MILIPUKO WAUA 6 UGANDA - Matukio Daima-Mzee wa matukio

Latest

Habari za kitaifa! Habari ya Kimataifa! Habari za Michezo/Burudani !

Ads Slideshow

Ads Slideshow

MAGAZETI

Matukio Daima TV (Live)

Great Ruaha Marathon 2023

Mabata Makali

Mangula Auto Spares

Mangula Auto Spares

Rural Development Organization

Lumilo Classic Hotel

Makedonia Dental Clinic

Hope Fast Food

Dtc Executive Hotel

Range Primary School

Tuesday, November 16, 2021

MILIPUKO WAUA 6 UGANDA


CHANZO CHA PICHA,

Polisi nchini uganda wamethibitisha kwamba takriban watu sita wamefariki katika milipuko iliyotokea mjini Kampala mapema leo.

Shirika la habari la Reuters linanukuu kituo cha televisheni cha ndani juu ya idadi ya vifo.

NTV Uganda imesema Meya wa Kampala Salim Uhuru ndiye chanzo cha habari za vifo vya watu wawili vilivyoripotiwa hapo awali

Ripota wa NTV alisema aliona sehemu za mwili zikiwa zimetapakaa katika eneo moja la mlipuko huo:CHANZO BBC

No comments:

Post a Comment

Habari za kitaifa! Habari ya Kimataifa! Habari za Michezo/Burudani !