Wanafunzi wa shule ya Sekondari Mtwivila kata ya Mkimbizi Katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa wakilazimika kutembea Kwa miguu kwenda shule baada ya changamoto kubwa ya usafiri wa daladala eneo hilo ,hivyo baadhi hulazimika kukodi pikipiki na kupakizana mshikaki picha na Matukio Daima Blog





0 Comments