Header Ads Widget

BREAKING:MOTO WATEKETEZA VIBANDA VYA MANZESE...

  

Picha hii ya mtandaoni haihusiani na tukio la moto Leo 


Moto mkubwa ambao chanzo chake  bado kufahamika unateketeza Soko la Manzese katika mji wa Tunduma mkoani Songwe .

Moto huo umeanza  majira ya saa 12 asubuhi na hadi kufikia saa mbili asubuhi ya leo (Nov.16.2021)

 Jeshi la zimamoto na uokozi mkoani humo lilikuwa bado linaendelea na uzimaji moto huo ili kutosababisha madhira zaidi.

Chanzo.Kidaruso blog



Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI