Header Ads Widget

BALOZI WA MAREKANI AKIOSHA GARI LA RC MWANZA

 


Balozi wa Marekani nchini akiosha gari la Mkuu we Mkoa Wa Mwanza, Mhandisi Robert Gabriel, alipotembelea mradi wa kuosha magari wa Millagro uliopo Nyasaka Ilemela mradi huo unalenga  kuwainua kiuchumi vijana na wasichana walionusurika kutoka kwenye mazingira hatarishi. 

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI