Header Ads Widget

TEKNOLOJIA YA KISASA YA UCHUMAJI CHAI MUFINDI

 



Mkulima wa Chai Kijiji cha Mkonge kata ya Luhunga wilaya ya Mufindi mkoani Iringa Keneth Msina akichuma chai jana Kwa kutumia Mashine maalum aliyoitengeneza Kwa kutumia mkasi na kopo la plastiki kama sahani ya kuhifadhia chai kupitia kifaa hicho anaweza kuchuma chai Hadi kilo 200 Kwa siku na bila Mashine hiyo huishia kilo 50 ama 100 
Shamba la chai Mkonge Mufindi mkoani Iringa 


Mkulima wa Chai Kijiji cha Mkonge kata ya Luhunga wilaya ya Mufindi mkoani Iringa Keneth Msina akichuma chai Leo  Kwa kutumia Mashine maalum aliyoitengeneza Kwa kutumia mkasi na kopo la plastiki kama sahani ya kuhifadhia chai kupitia kifaa hicho anaweza kuchuma chai Hadi kilo 200 Kwa siku na bila Mashine hiyo huishia kilo 50 ama 100 Picha na Francis Godwin

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI