Header Ads Widget

RUBANI HUYU HAJULIKANI ALIPO

 


Taarifa iliyotufikia inaeleza kuwa Rubani wa ndege ya jumuiya ya hifadhi ya wanyamapori Nalika inayo mirikiwa na shirika la uhifadhi la PAMS FOUNDATION  CAPTAIN SAMWEL BALINA GIBUYI ambaye alirusha ndege 5 H - jumatatu tarehe 18/10/2021 majira ya saa 09:09 alasiri kuelekea hifadhi ya pori la akiba la SELOUS KINGUPIRA Wilaya ya Rufiji mkani pwani kwa bahati mbaya hakufika na hajarudi na haieleweki yupo wapi .

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI