Kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wanaokabiliwa na mashtaka ya ugaidi inaendelea leo Ijumaa Oktoba 29, 2021 katika Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi.
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umeendelea kutekel…
0 Comments