Header Ads Widget

MWALIMU AKAMATWA NA POLISI KUMNG'OA JINO MWALIMU KWA KICHAPO


Mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi Mkuyuni aliyefahamika kwa majina ya Mussa Hasira   Tarafa ya Mkuyuni Morogoro vijijini anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoa wa Morogoro  tuhuma za kumpiga hadi kumng'oa jino la juu  Mwalimu mwezake, Witnes Makoti huku chanzo kikiwa bado hakijulikani.

Kamanda wa Polisi wa Polisi Morogoro, Fortunatus Musilimu ametbibitisha kushikiliwa Kwa mtuhumiwa huku akisema kuwa tukio hilo limetokea  Oktoba 15 mwaka huu shuleni hapo ambapo alimpiga kwa kutumia Fimbo, Ngumi na kumshambulia sehemu mbalimbali za mwili.


Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI