Header Ads Widget

ARSENAL YAFANYA KWELI UGENINI YAIGAGADUA LEICESTER CITY

 


Klabu ya Arsenal ikiwa  ugenini kwenye uwanja wa King Power imefanikiwa kubeba  alama tatu na kufanya sasa kufikisha alama 17 nafasi ya tano katika msimamo wa EPL.

Huu sasa ni ushindi wa tatu mfululizo wanapata Arsenal dhidi ya Leicester City katika uwanja huo King Power

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI