Makamu wa Rais Dr Emmanuel John Nchimbi amemwandikia barua Rais wa JMT kuwa ameamua kustaafu siasa na utumishi wa Umma hivyo ni sahihi kusema amejiuzulu nafasi yake ya Umakamu wa Rais kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri.
Taarifa imechapishwa kwenye ukurasa wake rasmi ila bado kurasa rasmi za Ofisi ya Makamu wa Rais hazijapandisha taarifa hiyo.









0 Comments