Header Ads Widget

WAZANZIBARI WAJA HAMASA, WAPO TAYARI KUMSIKILIZA DKT. MWINYI KATIKA UZINDUZI WA KAMPENI


Shangwe na hamasa zimetawala Viwanja vya Mnazi Mmoja huku viongozi, wanachama na wananchi wakifurika kwa wingi kushuhudia uzinduzi wa kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kumsikiliza mgombea wao wa Urais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, akieleza dira na mwelekeo wa maendeleo ya Taifa.



 

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI