Header Ads Widget

MWANAHABARI ALLEN SILVERY MSUNGU ACHUKUA FOMU YA UDIWANI KATA YA ULELING'OMBE JIMBO LA MIKUMI KUPITIA CHAUMMA

 

Na Matukio Daima Media,

Mwanahabari mwandamizi aliyewahi kufanya kazi katika vituo vya luninga hapa nchini kwa nyakati tofauti  ikiwemo ITV na  Azam tv Allen  Silvery Msungu amechukua fomu ya kuwania nafasi ya udiwani katika kata ya uleling'ombe jimbo la Mikumi wilayani kilosa kupitia chama cha ukombozi wa Umma.

Allen Silvery Msungu  amekabidhiwa fomu hiyo mjini Morogoro leo August 19,2025 na   Naibu Mkurugenzi Uchaguzi,Kampeni na Oganaizesheni wa Chama Cha Ukombozi wa Umma CHAUMMA TAIFA Ndugu David Chiduo.


Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI