Header Ads Widget

MKUTANO WA MPINA NA WAANDISHI WA HABARI WAAHIRISHWA

 

Na mwandishi wetu

Mkutano na waandishi wa habari uliopangwa kufanyika leo saa 7 mchana na Mgombea wa Urais kwa kiteki ya Chama Cha ACT-Wazalendo  Luhaga Mpina umeahirishwa kutokana na mzungumzaji kuendelea na usikilizaji wa kesi mahakamani.

Chama cha ACT-Wazalendo kupitia Afisa Habari wake, Abdallah Khamis, kimeomba radhi kwa usumbufu uliosababishwa na kimeeleza kuwa taarifa nyingine kuhusu tarehe mpya ya mkutano huo itatolewa baadaye.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI