Huku viongozi mbali mbali wa mkoa wa Iringa wakifika kutoa salamu za pole na wengine wakituma salama hizo.
Toka juzi Jumapili ulipotokea Msiba huo mkuu wa Wilaya ya Iringa Benjamin Sitta na mkuu wa mkoa wa Iringa Kheri James wamekuwa bega kwa bega na waombolezaji hao kufika nyumbani na kusaidia kamati ya mazishi inayoongozwa na mwenyekiti Victor Chakudika na katibu wake Ally Msigwa kuweka maandalizi vizuri katika mazishi hayo.
Huku waziri wa Nchi ofisi ya waziri mkuu Sera na uratibu wa bunge Wiliam Lukuvi ambae anatoka mkoa wa Iringa na akituma salamu za rambi rambi kwa wafiwa.
0 Comments