Header Ads Widget

JASON RWEIKIZA AIBUKA MSHINDI KURA ZA MAONI BUKOBA VIJIJINI


  Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Bukoba vijijini mkoani Kagera kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)Jason Rweikiza  ameongoza kura za maoni kwa kupata kura 6,465 akifuatiwa na Faris Buruhan aliyepata Kura   4619.

Akitangaza Matokeo hayo, Katibu wa CCM wilaya ya Bukoba vijijini ambaye pia ni Mkurugenzi wa Uchaguzi, Jesca Ndyamukama amesema kuwa kura zilizopigwa ni 11,682, kura halali 11,582 na zilizoharibika ni kura 100

Katibu huyo amewatangaza Wagombea wengine ambao ni Fahami Mastawili ambaye amepata  kura 239,Asted amepata kura 124,Edmund Rutaraka  kura 89 na  Philibart Bagenda kura 44.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI