Header Ads Widget

ALIYEKUWA RAIS WA BRAZIL AVAMIWA NYUMBANI KWAKE AVALISHWA KIFAA CHA UFUATILIAJI MGUUNI

 


Polisi nchini Brazil wamevamia nyumba ya aliyekuwa Rais wa nchi hiyo, Jair Bolsonaro na kumwamuru kuvaa kifaa cha ufuatiliaji mguuni huku wakimzuia kutumia mitandao ya kijamii.

Hatua hiyo ni agizo kutoka Mahakama Kuu ya Brazil kutokana na hofu kuwa Bolsonaro anaweza kukimbia nchi wakati kesi yake ikiendelea ya kupanga njama ya kupindua matokeo ya urais wa mwaka 2022 ili aendelee kubaki madarakani.



SHULE BORA KABISA HII BOFYA LINK

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI