NA MATUKIO DAIMA MEDIA
Wabunge wa Ulaya wamejadili maazimio kuhusu Mwenyekiti wa Chama cha upinzani, Chadema Tanzania, Tundu Lissu na kulaani kitendo cha kukamatwa kwake pamoja na tuhuma zinazomkabili ambazo ambazo wanasema zinaonekana kuwa za kisiasa na zinazobeba hatari ya kifo.
Hatua hiyo imefikiwa baada ya bunge hilo kufanya kikao cha dharura kujadili suala la Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu.
Maazimio yaliyojadiliwa ni yapi?
Wameitaka Serikali ya Tanzania kumwachilia mara moja Lissu na bila masharti yoyote, ili kuhakikisha usalama wake na haki yake ya kusikilizwa kwa haki na uwakilishi wa kisheria.
Wabunge hao wanazitaka mamlaka za Tanzania kukomesha ukandamizaji unaoendelea, ukamataji hovyo, unyanyasaji, mashambulizi na unyanyasaji dhidi ya wanachama wa upinzani, watetezi wa haki za binadamu, watu wa kiasili, wanaharakati wa LGBTIQ+, waandishi wa habari na mashirika ya kiraia, na kuchunguza kwa uhuru dhuluma za polisi na kupotea kwa watu, kudumisha utawala, sheria, vyombo vya habari, uhuru wa kujieleza, uhuru wa vyombo vya habari na mahakama.
Sheria za uhalifu wa mtandaoni na vyombo vya habari za Tanzania kwa zizingatie sheria za kimataifa za haki za binadamu, kuheshimu haki za vyama vya siasa na kuhakikisha uchaguzi huru na wa haki.
Wito kwa mamlaka za Tanzania kurejesha ushiriki kamili wa Chadema katika uchaguzi wa Oktoba 2025 na kushirikiana na vyama vyote vya siasa katika mazungumzo ya uwazi na jumuishi kuhusu mageuzi ya uchaguzi, kwa kushauriana na mashirika ya kiraia na wadau wengine.
Wito kwa EU na nchi wanachama wake kuwasiliana kwa kina na mamlaka za Tanzania kuhusu kesi ya Lissu na kufuatilia kwa karibu kesi; inawataka kuzingatia hatua zinazofaa ikiwa hali ya haki za binadamu itaendelea kuzorota.
Wanaitaka Tanzania kufuta hukumu ya kifo na kubadilisha hukumu zote za kifo.
Wanasisitiza haja ya EU kuhakikisha kwamba ushirikiano wake wa kimaendeleo na Tanzania, ikiwa ni pamoja na mpango wa Global Gateway, unaendana na uendelezaji wa haki za binadamu, uhuru wa kujieleza na viwango vya kesi vyenye haki.
Wabunge hao wanamuagiza Rais wake kupeleka azimio hilo kwa Serikali na Bunge la Tanzania pamoja na Umoja wa Afrika.
Azimio hilo linatarajiwa kupigiwa kura na wabunge hao leo Alhamisi tarehe 8
chanzo:BBC
SIMULIZI CHINI⬇️⬇️
Kamhonga mke wangu Sh5.7 milioni lakini hajaambulia kitu
Jina langu ni Frey, tumeishi na mke wangu Tuma kwa miaka 12 ndani ya ndoa yetu, naweza kusema kati ya wanaume duniani ambao wamefaidi matunda ya ndoa mimi ni mmoja wapo.
Nasema hivyo kwa sababu tangu nimemuoa huyu mke wangu sikumbuki kama kuna siku tumewahi kugombana au kununiana ndani ya nyumba, muda wote kwetu sisi ni upendo tu.
Pia mke wangu ni nzuri sana kisura na kiumbo, ni vidume wengi sana mtaani na sehemu mbalimbali vimekuwa vikimmezea mate, kila anapokatiza lazima watu wageuke kumtazama hata wanawake wenzake hufanya hivyo.
Kutokana na uzuri wake nilijua tu kuna wanaume watatumia kila nguvu, iwe kifedha ya kishirikiana kuhakikisha wanafaidi penzi lake, hivyo basi niliamua kutafua dawa ya kumfunga bila yeye mwenyewe kujua.
Nilitafuta sana kwa kuulizia kwa waganga wa jadi pale mtaani kwetu lakini walisema hawana huduma hiyo, ilinibidi kumpigia simu rafiki yangu aliyepo kijijini kumuulizia kama huko naweza kupata hiyo huduma hiyo.
Aliniambia hata huko alipo hakuna huduma hiyo bali anaweza kunisaidia, nikamuuliza kivipi?. Ndipo aliponiambia Dr. Kiwanga anaweza kumfunga mke wangu.
Nilimuuliza sasa nampataje mtu huyu ndipo aliponitumia namba yake ambayo ni +254 769404965, nilimshukuru sana kwa msaada wake.
Niliamua kumpigia Kiwanga Doctors kwa muda ule ule, nilimwambia kuwa nahitaji kumfunga mke wangu, aliniambia hilo linawezekana ndani ya siku tatu na baada ya hapo hakuna kidume anayeweza kumgusa.
Basi mimi nikawa na imani kuwa tayari mke wangu atakuwa sehemu salama, na hivyo ni wangu pekee yangu.
Kupita kama miezi miwili hivi mke wangu aliniita chumbani na kuniambia kuwa jirani yetu alikuwa akimsumbua sana akimtaka kimapezi, alimuahidi kumpa fedha Sh5.7 milioni kama akimkubalia. Alisema alikubali lakini walivyofika chumbani jirani alishindwa kabisa kufanya kazi maana jogoo wake hakuwika kabisa.
Mke wangu aliniomba msamaha kwa kutaka kuisaliti ndoa yetu na zile fedha za jirani tuliamua kuzila kuku kwa mrija, mke wangu alinishukuru kwa hatua hiyo niliyochukua ya kumlinda maana vishawishi ni vingi.
Ukiachana na hayo, Kiwanga Doctors anaweza kukufanya kuwa na bahati maishani mwako, kushinda bahati nasibu, kuondokana na mikosi, kuwa na mvuto wa kimapenzi, kuondokana na migororo na ndoa na kuongeza mauzo katika biashara.
Ni watu wengi hadi sasa wamepata mafanikio, uponyaji na furaha kupitia huduma za Kiwanga Doctors ambao unaweza kuwasiliana na kwa namba +255 763 926 750 au tembelea tovuti yao, maelezo zaidi kuhusu huduma zao ambazo zimewasaidia wengi.
0 Comments