Header Ads Widget

"PAKISTAN IMEJIBU KWA USAHIHI"- WAZIRI MKUU SHARIF

 

Waziri Mkuu wa Pakistan Shehbaz Sharif anasema jeshi la nchi hiyo limejibu "kwa usahihi" shambulizi la India huku mzozo kati yan chi hizo mbili ukiendelea kuongezeka.

"Leo, tumeijibu India kwa usahihi na kulipiza kisasi damu ya watu wasio na hatia," amesema katika taarifa.

Awali, jeshi la Pakistan lilisema lilikuwa limechukua hatua ya kulipiza kisasi dhidi ya India baada ya kuishutumu Delhi kwa kurusha makombora katika vituo vyake vitatu vya anga.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI