Header Ads Widget

MWANAFUNZI LIGHTNESS AOMBA SAPOTI YA RAIS SAMIA, FLAVIANA MATATA AWE MWANAMITINDO WA KIMATAIFA

 



Lightness akieleza jinsi alivyofanikisha shoo hiyo ya mitindo ya mavazi.


Lightness Enock Ngwangwalu.




 


Mwanafunzi Lightness Enock Ngwangwalu mwenye umri wa miaka 16 aliyemaliza Kidato cha Nne katika Shule ya Sekondari Mbabala, Dodoma amesema ndoto yake ni kuwa mwanamitindo wa Kimataifa hivyo anaomba msaada kwa Rais Samia Suluhu Hassan na Mwanamitindo wa Kimataifa Flaviana Matata ili aendelezwe hadi kufikia ndoto yake hiyo.

Alifikia kuomba msaada huo wakati wa mahojiano na mwandishi wa habari hii baada ya kuongoza vyema shoo ya wanafunzi wenzie waliovalia mitindo mbalimbali ya mavazi wakati wa mahafali ya 21 ya shule hiyo.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MSIMAMIZI MKUU KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 0754264203

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI