Header Ads Widget

BREAKING:ALIYEKUWA RC SIMIYU DKT NAWANDA AACHIWA HURU NA MAHAKAMA


Na Matukio Daima media 


Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza imemuachia huru aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dk Yahya Nawanda katika kesi ya kulawiti iliyokuwa ikimkabili.

Katika uamuzi wake kwenye kesi hiyo ya jinai namba 1883/2024, yenye kosa la kulawiti, uliosomwa na Hakimu, Mkazi Mfawidhi wa mahakama hiyo Erick Marley.

Katika uamuzi huo, Hakimu Marley amesema mahakama hiyo baada ya kupitia maelezo ya ushahidi na vielelezo imejiridhisha kuwa hakukuwa na muunganiko wa ushahidi unaoweza kumtia mshtakiwa Dk Nawanda hatiani na hivyo kumwachia huru.

TWINITY MISSION SECONDARI SCHOOL MAFINGA IRINGA



Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI