Mbunge wa Mbeya vijijini Mhe. Oran Njeza, ametembelea zahanati ya kijiji cha Ihango kata ya Ulenje inayojengwa kwa nguvu za wananchi ili kuepukana na kadhia ya kutembea umbali mrefu wa zaidi ya kilomita 12.
Katika ujenzi huo Mbunge wa Mbeya vijijini amewaunga mkono wananchi kwa kuchangia shilingi million mbili ili kuchochea maendeleo na kusaidia kuimarisha afya za wananchi.
0 Comments