Header Ads Widget

MNEC SALIM ASAS AKAGUA UJENZI WA BARABARA YA MCHEPUKO IRINGA MJINI,ATAKA UJENZI UKAMILIKE HARAKA

msafara wa MNEC Salim Abri Asas kukagua ujenzi wa Barabara ya Mchepuko Iringa kutoka Igumbilo -Tumain 

Madaraja yakiwa yamekamilika 
MNEC Salim Abri Asas kushoto akiwa na DC Iringa Kheri James na viongozi mbali mbali wa Chama na serikali 




 



Mjumbe wa Halmashauri kuu ya chama Cha mapinduzi Taifa (NEC) Salim Abri Asas ataka ujenzi wa Barabara ya Mchepuko Igumbilo -Tumain Iringa mjini kukamilika kwa wakati ili kusaidia kupunguza msongamano wa magari katikati ya mji wa Iringa.


Asas ameyasema hayo leo baada ya kukagua ujenzi huo wa Barabara ambao umesimama kwa muda mrefu.

Zaidi ya kiasi Cha zaidi  Tsh bilioni 41  Hadi utakapokamilika 

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI