Header Ads Widget

AMEPOTEA



Pichani ni mtoto Evodia Stanslaus Kiwone, mwanafunzi wa kidato cha  IV shule ya sekondari ya Forest, ana umri wa miaka 17. 

Amepotea nyumbani kwao Airport ya zamani, Mbeya. 

Alipotea siku ya tar 28/7/2024 na hajulikani alipo mpaka sasa tuandikapo taarifa hii leo tar 26Aug. 

Tunaomba kwa yeyote, mwenye taarifa yoyote ya kufanikisha upatikanaji wake awasiliane nasi kwa simu no 

0768717496 (baba) 

0752494304 (mama) 

Au kituo chochote cha polisi kilicho karibu naye kwa RB no MWJ/RB/1161/2024 


TAFADHALI SHEA TANGAZO HILI KWA WINGI KADIRI UWEZAVYO

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI