Header Ads Widget

MAREKANI NA JAPAN KUIMARISHA USHIRIAKIANO KWENYE SEKTA YA TEKNOLOJIA NA ULINZI

Rais wa Marekani Joe Biden na waziri mkuu wa Japan Fumio Kishida wakifanya mkutano wa pamoja na waandishi wa habari, White House, Aprili 10, 2024. Picha ya AFP

Viongozi hao walitangaza mipango mipya kuhusu sekta ya teknolojia na ulinzi, ikiwemo kuboresha makubaliano ya kamandi na udhibiti kwa jeshi la Marekani na Japan, uwekezaji mpya na ushirikiano kwenye sekta ya anga, ujasusi bandia, vifaa vya kusambaza nguvu ya umeme na nishati safi.

Lakini lengo kuu ni kuzuia mashambulizi ya kijeshi ili kuimarisha ushirikiano wa baharini katika bahari ya Kusini mwa China, pamoja na ulinzi wa anga.

“Kwa mara ya kwanza, Japan na Marekani na Australia zitaunda mfumo wa mtandao wa makombora ya anga na ulinzi,” Biden alisema.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI