Waumini wakifuatilia Ibada
Viongozi wa kisiasa kutoka kushoto MNEC Taifa Richard Kasesela ,mwenyekiti wa CCM mkoa wa Njombe na mbunge wa Makambako Deo Sanga na mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa Daud Yassin wakifurahia jambo
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa Daud Yassin akiteta jambo na naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile
Askofu WA Dayosisi ya Mufindi Dkt Antony Kipangula (Kulia) akiwa na mkuu wa KKKT Dkt Frederick Shoo
Mkurugenzi wa Matukio Daima media Francis Godwin wa pili kushoto akiwa na waambaji wa kwaya kuu DIRA na mamake mzazi Lidya Lukuvi wa nne Kulia,wa kwanza kushoto ni mwinjilisti mstaafu wa usharika wa Tumain Mzee Mheni
Mwinjilisti mstaafu wa usharika wa Tumain Mzee Mheni akimpongeza mkurugenzi wa Matukio Daima media Francis Godwin
MNEC Taifa Leonard Mahenda Qwihaya akiwa na naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile Leo wakati wa Uzinduzi wa Dayosisi ya KKKT Mufindi
Askofu Kipangula akipewa zawadi na msharika wake
Mwenyekiti wa kwaya kuu DIRA mchungaji Ilomo akimpongeza mke wa ASKOFU Kipangula
Picha zaidi zinakuja
0 Comments