Header Ads Widget

e-GA WAKIENDELEA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI WA MBEYA


 

Picha za Matukio mbalimbali ya wananchi wakipatiwa Elimu na  huduma mbalimbali katika Banda la Mamlaka ya Serikali Mtandao lililopo katika viwanja vya John Mwakangale-Nanenane jijini  Mbeya.


Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) inashiriki Maonesho ya kimataifa ya Nanenane mwaka 2023 kwa lengo la kutoa Elimu kwa wananchi kuhusu kazi na Majukumu ya Mamlaka 


Lakinj pia kuzisisitiza Taasisi za umma kutumia TEHAMA katika utoaji wa huduma zao ili kumrahisishia mwananchi kupata huduma hizo kwa urahisi na gharama nafuu.





Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI