Header Ads Widget

CCM YATOA WITO KWA VYOMBO VYA DOLA KUWASAKA WALIOWASHAMBULIA WAANDISHI WA MWANANCHI


 

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimelaani vikali kitendo cha kushambuliwa kwa waandishi wa habari wa kampuni ya Mwananchi communication Ltd kilichotokea Jumamosi Julai 22, 2023 wakiwa wanatekeleza majukumu yao katika uwanja wa Buriaga , Temeke jijini Dar es Salaam.




Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI