Header Ads Widget

CHONGOLO AKAGUA UJENZI WA MRADI WA TENK KUBWA LA MAJI MAFINGA

katibu mkuu wa CCM Taifa Daniel Chongolo akishiriki ujenzi wa mradi wa Tenk kubwa la Maji unaojengwa na Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Mafinga (MAUWASA)  Kwa Tsh Bilioni 48.064 173 480.05  mradi utakaomaliza changamoto ya upatikanaji wa Maji mji wa Mafinga Kwa kuhudumia wananchi 99305 wa mji wa Mafinga

Mkandarasi wa mradi wa Tenk la Maji Mafinga akitoa maelezo Kwa katibu mkuu wa CCM Taifa Daniel Chongolo baada ya kutembelea kukagua mradi huo 


Chongolo akishiriki Kikao Cha shina namba 3 kata ya Boma Mafinga
Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM Taifa Sophia Mjema akitoa Salam 





Chongolo akiwa na Viongozi mbali mbali baada ya kutembelea kituo Cha Afya IFINGO 
Mwenyekiti wa UWT wilaya ya Mufindi Marcelina Mkini akikabidhi hati ya shukrani ya uchangiaji mzuri wa shughuli za chama na katibu wa CCM Taifa Daniel Chongolo
Mwenyekiti wa wazazi wilaya ya Mufindi Bwana Kilipamwambu akimpokelea MNEC Wazazi Taifa George Gandye hati ya shukrani toka Kwa katibu mkuu wa CCM Taifa Daniel Chongolo




Mjema akipewa zawadi na mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa Daud Yassin




 Mkuu wa mkoa wa Iringa Halima Dendego akimsikiliza katibu wa itikadi na uenezi wa CCM Taifa Sohin Mjema (kushoto)

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI