Header Ads Widget

MJUE BERNAD MEMBE AFARIKI DUNIA LEO


Taarifa za kusikitisha za kushtua zilizotufilia na kuwa aliyewahi kuwa Waziri wa mambo ya Nje Bernard Kamilius Membe amefariki Dunia Katika Hospital ya Kairuki Mkoani Dar es salaam.Taarifa za awali zinadai kuwa alipata changamoto yaKifua na kupelekwa Hospitalini hapo Alfajiri Leo na wakati akipatiwa matibabu ndipo alipofariki 

Taifa limempoteza mmoja wa Wanadiplomasia, Jasusi na Mwanasiasa mahiri Bernad Membe aliyewahi kuwa Mbunge wa jimbo la Mtama na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimaitaifa, katika serikali ya awamu ya nne iliyokuwa chini ya Rais Jakaya Kikwete.

Taarifa kutoka ndani ya familia zinasema taa ya Membe ilizima ghafla asubuhi ya leo Ijumaa, Mei 12; Hospital ya Kairuki (HK) iliyoko Mikocheni, jijini Dar es Salaam, akiwa anapatiwa matibabu, baada ya kupelekwa siku tatu zilizopita kwa changamoto ya homa na kifua.

Membe ambaye anatajwa kama Kachero mbobevu na Mwanadiplomasia nguli na Mwanansiasa makini, aliwahi kugombea nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uchaguzi mkuu 2020, akipeperusha bendera ya ACT Wazalendo



Bernard Kamilius Membe, (born 9 November 1953- Died 12 May 2023) was a Tanzanian politician. He served as a Minister of Foreign Affairs of Tanzania from 2007 to 2015.He also served as a Member of Parliament for Mtama constituency from 2000 to 2015.

Bernard Membe
Bernard Membe 2009 (cropped).jpg
13th Minister of Foreign Affairs
In office
13 January 2007 – 5 November 2015
In office
17 October 2006 – 12 January 2007
MinisterNazir Karamagi
In office
6 January 2006 – 16 October 2006
MinisterJohn Chiligati
Member of Parliament
for Mtama
In office
November 2000 – July 2015
Succeeded byNape Nnauye
Personal details
Born9 November 1953 (age 69)
Lindi RegionTanganyika
DiedMay 12, 2023 (aged 69)
NationalityTanzanian
Political partyChama Cha Mapinduzi
Other political
affiliations
Alliance for Change and Transparency (2019-2022)
SpouseDorcas Membe
Alma materUniversity of Dar es Salaam
Johns Hopkins (M.A.)

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI