Header Ads Widget

WAANDISHI WA HABARI SIMIYU WAPATA MAFUNZO YA ELIMU BORA

Na Zulufa Alfan Matukio Daima App Simiyu

Waandishi wa Habari kutoka vyombo mbalimbali mkoani Simiyu wamepata mafunzo  kutoka mradi wa shule Bora  unaotekelezwa na serikali  ya Tanzania kupitia mfuko wa Ukaid  wa Uingereza


Mradi huo wa elimu Bora unahusisha mikoa  Tisa  nchini  ambayo ni Simiyu, Singida, Mara, Katavi, Rukwa, Pwani, Tanga, Kigoma na Dodoma


Mradi  wa shule Bora unachangia kuinua ubora wa elimu jumuishi na mazingira salama ya kujifunzia wavulana kwa wasichana


Aidha mradi wa shule  Bora unalenga kusaidia pia watoto wenye mahitaji maalum na walemavu




Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI