Header Ads Widget

NCHI 30 KUSHIRIKI TAMASHA LA VYAKULA VYA AFRICA KUFANYIKA BAGAMOYO

 


TAMASHA kubwa la vyakula vya kiafrika  litakalofahamika kwa jina la African Cuisine Festival 2022  kufanyika Oktoba 14 hadi 16 kwenye viwanja vya Ndoto Polepole Farm Mapinga Wilayani Bagamoyo Mkoani Pwani.



Akizungumza na  Waandishi wa Habari leo Mapinga Mratibu wa Tamasha hilo amesema Barozi wa Bodi ya Utalii wa Waafrika na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Emblem International Mariam Lesian.

Amesema nchi 30 zinatajiwa kushiri  nakukutanishwa pamoja  katika kuonesha  aina mbalimbali za vyakula vyao vya asili kutoka kwenye nchi zao.

Mariam amesema lengo la tamasha hilo  ni kujivunia urithi  wetu wa kiafrika pamoja na kudumisha  umoja  wa nchi zetu za kiafrika kwa kupitia  vyakula  vyetu, tamaduni zetu na vivutio vyetu vya utalii kwa ujumla.

Aidha amesema kuwa kutakuwa na kiingilio kwa madaraja mbalimbali.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI