Mkuu wa Dayosisi ya maandalio ya KKKT Mufindi Dkt Anthony kipangula akikata utepe kuweka wakfu shamba la Parachichi hekari 50 Kijiji Cha Ihohanza usharika wa Mgololo Jimbo la Tumaini
Wachungaji na waumini wa KKKT Mufindi wakiwa Katika ibada ya kuweka wakfu shamba la Parachichi
Maandamano ya ibada ya kuweka wakfu Shamba
Mwakilishi wa DC Mufindi katibu tarafa ya Kasanga akiwa kwenye maandamano
Wageni kutoka Sweden ambao ni marafiki wa Jimbo la Tumaini wakishiriki pia
Mkuu wa Dayosisi ya maandalio ya KKKT Mufindi Dkt Anthony kipangula akiongoza ibada
Wachungaji wakisoma neno
Mwakilishi wa DC Mufindi Saad Mtambule akikata utepe






































































































































0 Comments