Header Ads Widget

HABARI KUBWA MAGAZETINI LEO J2 SEPTEMBA 25, 2022:MBATIA 'OUT', SERIKALI YAPATA MBINU KUZUIA MAUAJI/MCH DR KIPANGULA AWAPONGEZA WOTE WALIOSHIRIKI HARAMBEE YA UJENZI WA KANISA KKKT MAFINGA...

 









Kiongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya maandalio Mufindi Dkt Antony Kipangula amemshukuru katibu mkuu wa CCM Taifa Daniel Chongolo na mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Samia Suluhu Hassan na wote walioshiriki Harambee hiyo Kwa kufanikisha malengo yaliyowekwa.

Mch Dkt Antony Kipangula alisema lengo la Harambee hiyo lilikuwa ni kukusanya kiasi Cha Tsh Milioni 250 ila Hadi Sasa zaidi ya Tsh Milioni 214 zimepatikana ikiwa ni pesa Taslimu na ahadi jambo ambalo ni kubwa na anaamini wengine wataendelea kuchangia na kufanikisha malengo yaliyowekwa.

Dkt Kipangula alisema harambee hiyo Bado inaendelea na wale wanaoguswa wanaweza kushiriki Harambee hii Kwa kuchangia Kwa akaunti namba hizi 
Wambi Lutheran church MUCOBA BANK 01054606
Evangelical Lutheran church in Tanzania -Mafinga NMB Bank 60202300245
Kwa mawasiliano zaidi piga 0767361437 Mchg Dr Antony Kipangula,Mchg Anuwai Mwinuka 0755252594,Mchg Tullo Kipingu 0715 265775 na mwenyekiti kamati ya Uhamasishaji Ndg Yohana Kikungwe 0754 012788


Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI