Header Ads Widget

BENKI YA CRDB YAZINDUA HUDUMA YA TISHA NA TEMBO CARD MWANZA

 



 Benki ya CRDB imesema kupitia kampeni ya Tisha na TemboCard imeanda zawadi Mbali mbali kwa wateja wake ikiwiwemo kutoa zawadi ya milioni Mbili kila mwezi kwa wateja watakaotumia kadi ya CRDB - Tembo Card kufanya miamala kwa wingi.


Pia washindi wanne watasafirishwa Bure na Benki hiyo kushuhudia michuano ya  Kombe la Dunia yatakayofanyika Mwishoni mwa Mwaka huu nchini , Qatar



Aidha Benki ya CRBD imeandaa kitita cha shilingi milioni mbili kwa wateja watatu kila mwezi ambao watatumia huduma ya TemboCard kwa Wingi  katika kufanya mihamala mbalimbali ya manunuzi


Lengo ikiwa ni Mpango wa Benki hiyo kuongeza idadi ya Watanzania wanaotumia miamala ya kidigitali ,ili kuongeza usalama wa kifedha badala ya kutumia pesa Taslimu.


Washindi wa nne wa Mwisho watasafirishwa na CRDB,Bure  kwenda nchini Qatar kushuhudia mashindano ya Kombe la Dunia.



Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI