Taarifa ambazo Matukio Daima imezipata Jioni hii na kuwa madiwani wa CCM Manispaa ya Iringa wamemchagua Kwa kura 16 Diwani wa Kata ya Kihesa Juli Sawani kuwa Naibu meya akichukua nafasi ya Likotiko Kenyata aliyepata kura 4 huku Dolla Nziku akipata kura 8






0 Comments