Header Ads Widget

BALOZI WA BRAZIL NCHINI TANZANIA ASHUHUDIA UTIAJI WA SAINI MRADI KUONGEZA THAMANI ZAO LA PAMBA.

 


Balozi wa Brazil nchini Tanzania Bwana  Bwana Antonio Agustors  Martin Cesar leo ameshuudia utiaji saini wa Mradi wa kuongeza thamani katika zao la Pamba ujulikanao kama 'Beyond  Cotton Project '




Mradi huo utatekelezwa kwa kipindi cha miezi 20 ukitekelezwa na Taasisi ya Utafiti wa kilimo Tanzania (TARI), Bodi ya Pamba (TCB) pamoja na Wizara ya Kilimo.  



Utiaji saini huo umefanyika kati ya Brazil (ABC ,UFCG ) Tanzania  (TARI &TCB) na WFP(COE  Brazil na WFP Tanzania.



Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI