Header Ads Widget

OJADACT YAWANOA WANAHABARI JUU YA KUHIFADHI FUKWE.

 


Na MatukioDaimaAPP,Mwanza

Chama Cha Waandishi wa habari kupiga vita matumizi ya dawa za kulevya   na uhalifu  Tanzania Kwa kushirikiana na Open Knowledge foundation Leo imewanoa wanahabari juu ya uhifadhi na utunzaji wa fukwe Nchini 


June 1 hadi Juni 11 ni siku maalumu ya maadhimisho ya siku ya uwazi wa takwimu Duniani 


Maadhimisho hayo yamelenga kuwafundisha waandishi wa habari umuhimu wa takwimu  kulinda   fukwe zilizopo nchini  na kuhakikisha zinahifadhiwa Ili kuendana na Hali iliyopo Kwa Sasa.


 Kwa Mujibu wa Mwenyekiti wa OJADACT  Edwin Soko ameeleza kuwa fukwe za Afrika Mashariki huchangia uchumi wa Nchi  za Afrika Mashariki Kwa asilimia 57 kwa pato la Mwaka, hivyo Kuna umuhimu wa kuzitunza fukwe.



Aidha amewasihi waandishi wa habari kutumia kalamu zao kuhakikisha inaandika habari za fukwe zilizopo nchini ikiwa ni pamoja na kufahamu takwimi mbalimbali za fukwe zilizopo nchini.








Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI